16 MACHI 2021
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Grace Kaneiya anakuletea
-Somalia imefuata nyayo za nchi zingine za Afrika na kuanza kampoeni ya chanjo dhidi ya COVID-19 baada ya kupokea shehena kupitia mkakati wa COVAX
-Mwaka mmoja baada ya kuzinduliwa kwa mfuko wa kiamataifa wa mshikamano kwa ajili ya COVID-19 WHO inasema umefanya mambo mengi lakini inawasihi wahisani kuendelea kuutunisha 2021