Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

09 Machi 2021

09 Machi 2021

Pakua

Hii leo jaridani Flora Nducha anamulika harakati za kuondokana na ndoa za umri mdogo duniani akimulika mtoto aliyeolewa na mzee huko nchini Bangladesh, kisha anaangazia mpango wa elimu haiwezi kusubiri ambao umepatiwa dola milioni 1 nchini Niger na mwisho ni taarifa kuhusu madereva wanawake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wakifanya kazi na Umoja wa Mataifa. Makala tunakwenda Tanzania ambako Paul Siniga, al maaruf Rio Paul anazungumzia jinsi ushiriki wake wa programu ya HeforShe umemsaidia kuwezesha kujenga usawa wa kijinsia nchini Tanzania na usisahau kuna mashinani, Karibu!

Audio Credit
FLORA NDUCHA