Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

05 Machi 2021

05 Machi 2021

Pakua

Hii leo jaridani ni mada kwa kina tunakwenda Tanzania ambako mhitimu wa Chuo Kikuu aweka alichosomea pembeni na kuanza kutumia kalamu ya wino kuchora picha, kulikoni? Habari kwa ufupi imesheheni taarifa kuhusu saratani, Corona na ziara ya kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis nchini Iraq na leo katika kujifunza kiswhahili ni uchambuzi wa methali, Chozi la akupendaye hutoka kwenye chongo au kengeza! Karibu basi na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
15'48"