29 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya mwisho ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kusaidia kipindi cha mpito nchini Sudan (UNITAMS), na afya kwa wakimbizi wa DRC jimboni Kivu Kaskazini. Makala na mashinani tunaangazia mkutano huo wa Baraza la mazingira duniani UNEA6 leo ikiwa ni siku yake ya 4.