Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

19 APRILI 2024

19 APRILI 2024

Pakua

Ushirikiano wa kimataifa utasaidia kufanikisha kuhamia katika nishati jadidifu - Francesco La Camera.

Vijana wa Afrika lazima tuchangamkie fursa na kujifunza: Joram Nkumbi na Vivian Joseph.

Lugha ya kichina imepanua fursa za ajira kwa wanafunzi wa SAUT – Tanzania.

Mashinani ni nchini Kenya kusikia jinsi ambavyo mafunzo ya ukulima endelevu na mikopo ya fedha katika mzunguko wa kijamii (Merry-go) inavyowasaidia wakulima kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Sauti
14'40"