29 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya mwisho ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kusaidia kipindi cha mpito nchini Sudan (UNITAMS), na afya kwa wakimbizi wa DRC jimboni Kivu Kaskazini. Makala na mashinani tunaangazia mkutano huo wa Baraza la mazingira duniani UNEA6 leo ikiwa ni siku yake ya 4.
26 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa sita wa Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa UNEA6 jijini Nairobi, na mradi wa kusaidia watoto na vijana ambao walikuwa na changamoto ya masikio na kuongea nchini Rwanda. Makala tunasalia nchin Kenya na mashinani ukanda wa Gaza, kuikoni?
22 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina, ambapo FAO limeutenga mwaka huu wa 2024 kuwa wa wanyama wa jamii ya ngamia kwani mchango na faida zake zinanufaisha zaidi ya mataifa 90 duniani na tunaelekea nchini Kenya kwa makala inayohusu ngamia. Pia tunaangazia DR Congo, Gaza na Ukraine kwa muhtasari ya habari. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa neno “NDONGOSA”.
21 FEBRUARI 2024
Hii leo jaridani tunaangazia mizozo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na mabomu ya kutegwa ardhini nchini Ukraine. Makala tukupeleka katika ukanda wa Gaza na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?