07 FEBRUARI 2020
Jaridani Februari 07, 2020 na Anold Kayanda. Ikiwa leo ni Ijumaa utasikia Habari kwa ufupi, mada kwa kina imejikita katika suala la ukeketaji tukiangazia nchini Tanzania ambako manusura mmoja anapambana kuhakikisha hakuna mtoto mwingine wa kike atakayekumbana na madhila haya. Na ikiwa leo ni Ijumaa tutasikia uchambuzi wa methali la wiki kutoka BAKIZA.