24 Januari 2020
Pakua
Ni Ijumaa ya Januari 24 mwaka 2020 kama kawaida leo ni mada kwa kina ambapo leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya elimu, tutaangazia harakati za uboreshaji wa elimu duniani kote na zaidi tutajikita nchini Tanzania kutathimini hatua zilizofikiwa tangu kutangazwa kwa elimu bila malipo.
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
10'25"