Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

05 FEBRUARI 2020

05 FEBRUARI 2020

Pakua

Katika Jarida la Habari hii leo kutoka Umoja wa Mataifa Anold Kayanda anakuletea
-UNHCR yaongeza hatua za kukabiliana na hali ya wakimbizi Sahel ghasia zikishika kasi
-Somalia inahitaji msaada wa kibinadamu wakati watu milioni 4.1 wakikabiliwa na kutokuwa na uhakika wa chakula
-UNESCO yasema asilimia 32 ya watu wa zaidi ya miaka 15 Nepali hawajui kusoma wala kuandika
-Makala yetu leo inatupeleka mkoani Kagera kumulika mchango wa wauguzi na wakunga
Na Mashinani tuko Afghanistan ambako UNICEF inapambana na utapiamlo

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
11'41"