27 Januari 2020
Pakua
Jaridani leo Januari 27, 2020 na Flora Nducha:
-Wakati dunia ikiadhimishamauaji ya maangamizi makuu au Holocaust Katibu Mkuu amesema, "Tunapowakumbuka waathirika wa Holocaust tuhakikishe uhalifu huo haturejei."
-Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema Lazima kuwe na uwajibikaji wa vifo vya mashambulizi ya anga Libya-UN
-Miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa-UNESCO
Na katika makala ni kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye tiba ya asili
Na mashinani tunaelekea nchini Madagascar.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
14'14"