Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

27 Januari 2020

27 Januari 2020

Pakua

Jaridani leo Januari 27, 2020 na Flora Nducha:

-Wakati dunia ikiadhimishamauaji ya maangamizi makuu au Holocaust Katibu Mkuu amesema, "Tunapowakumbuka waathirika wa Holocaust tuhakikishe uhalifu huo haturejei."

-Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema Lazima kuwe na uwajibikaji wa vifo vya mashambulizi ya anga Libya-UN

-Miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa-UNESCO 

Na katika makala ni kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye tiba ya asili

Na mashinani tunaelekea nchini Madagascar.

 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
14'14"