Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

06 Februari 2020

06 Februari 2020

Pakua

Ukeketaji unaathiri wasichana na wanawake na gharama ya matibabu ni dola bilioni 1.4 kwa mwaka kimataifa imesema WHO, Mwaka mmoja baada ya makubaliano ya amani, mamilioni ya watoto CAR bado wako hatarini. Tangu nimeacha ungariba nimeshawaokoa wato takribani 150-Aliyeacha ungariba.

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
10'15"