Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

04 FEBRUARI 2020

04 FEBRUARI 2020

Pakua

Katika Jarida la Habari hii leo kutoka Umoja wa Mataifa arnold Kayanda anakuletea
-Shirika la afya ulimwenguni WHO limetaja hatua za kunusu maisha ya watu milioni 7 kutokana na saratani
-Watu zaidi ya 520,000 wamefurushwa makwao Syria katika miezi miwli iliyopita kutokana na machafuko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo
-Baa la njaa lainyemelea Sudan Kusini WFP yaonya bila msaada na fedha mamilioni ya watu watakuwa hatarini
-Makala yetu leo inatupeleka zanzibar kumulika mchango wa wauguzi na wakunga
Na Mashinani tuko Yemen ambako nishati ya jua au Sola imeleta nuru

Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
12'3"