Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

31 JANUARI 2020

31 JANUARI 2020

Pakua

Jaridani Januari 31, 2020 na Arnold Kayanda. Ikiwa leo ni Ijumaa utasikia Habari kwa ufupi, mada kwa kina imejikita katika mlipuko wa virusi vya corona tukiangazia nchini Kenya ambako kuna mgonjwa anayefanyiwa uchunguzi kuthibitisha iwapo ana virusi vya corona baada ya kuwasili kutoka China na dalili za homa. Na ikiwa leo ni Ijumaa tutasikia uchambuzi wa neno la wiki kutoka BAKITA.

Audio Credit
Arnold Kayanda
Audio Duration
11'4"