Mauaji ya kimbari ya Rwanda hayakuwa bahati mbaya wala yasiyoweza kuepukika:Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mauaji ya kimbari ya Rwanda dhidi ya Watutsi ya mwaka 1994 hayakuwa ya bahati mbaya wala yasiyoweza kuepukika.