Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Vurugu za magenge mjni Port-au-Prince, Haiti, zinawatia hofu watu wazima na watoto vile vile.
UNDP Haiti/Borja Lopetegui Gonzalez

Licha ya vikwazo, WFP yaendelea kuokoa maisha Haiti 

Nchini Haiti, ambako karibu nusu ya idadi ya watu tayari hawana uhakika wa chakula, njaa inatazamiwa kuongezeka huku kukiwa na ongezeko la mfumuko wa bei, gharama kubwa za chakula na mafuta na kuzorota kwa usalama, linaonya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP ingawa linaendelea kutoa msaada kwa Wahaiti walio katika mazingira hatarishi.

Sauti
2'30"
Watoto wa Darfur Kaskazini kambi ya wakimbizi wa ndani ya Abo Shouk ambako UNAMID imekarabati darasa.
UN Photo/Albert Gonzalez Farran

Vita, Machafuko na majanga mengine vyatawanya watoto milioni 36.5 mwaka 2021: UNICEF 

Vita, machafuko na mjanga mengine vimewaacha watoto milioni 36.5 wakitawanywa kutoka majumbani kwao hadi kufikia mwisho wa mwaka 2021 kwa mujibu wa takwimu mpya zilizotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ambalo linasema idadi hiyo ni kubwa kabisa kurekodiwa tangu vita ya pili ya dunia.

Sauti
3'36"