Tumechota maarifa YALI, tunapeleka nyumbani Afrika kutekeleza SDGs – Catherine, Hussein na Suzan
Takribani vijana mia saba, kwa takribani wiki 6, wamekuwa katika vuo vikuu mbalimbali nchini Marekani wamesafiri kupata maarifa ya uongozi kupitia Mpango wa serikali ya Marekani unaolenga kuwaelimisha viongozi vijana wa Afrika ili waweze kuwa viongozi bora katika jamii zao.