Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Chanjo dhidi ya virusi vya Corona iliyotengenezwa na chuo cha Oxford.
University of Oxford/John Cairns

Ukweli kuhusu chanjo na zinavyotengenezwa 

Wakati huu dunia ikiendelea kuhaha kuhakikisha chanjo dhidi ya corona au COVID-19 iliyokwishapatikana inasambazwa kwa kila mkazi wa dunia,  shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limefafanua kuhusu chanjo na jinsi zinavyotengenezwa. 

Wavuvi wakijiandaa kuondoka kuelekea bahaini huko Yoff, Sengal.
Picha ya UN

Je umaskini watumbukiza watoto wa kike kutoa ngono kupata kitoweo?

Ukosefu wa usawa wa jinsia, ugumu wa kupata huduma na umaskini vinaripotiwa kuchochea kiwango kikubwa cha mimba za utotoni na na virusi vya Ukimwi VVU huko Homa Bay nchini Kenya. Taarifa hizo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyoandaliwa na serikali ya kaunti ya Homa Bay kwa kushirikiana na wadau wake kupitia msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. 

Sauti
3'2"
Msichana kutoka Kenya akisomea nyumbani wakati wa vikwazo kukabiliana na janga la COVID-19.
© UNICEF/Brian Otieno

UNICEF yahimiza serikali duniani kufungua shule, japo kwa tahadhari

Idadi ya watoto wa shule walioathiriwa na kufungwa kwa shule kutokana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 imeongezeka kwa asilimia 38 mwezi uliopita wa  Novemba, hali hiyo ikiweka mkwamo mkubwa kwenye maendeleo ya masomo na ustawi wa wanafunzi zaidi ya milioni 90 ulimwenguni, limeeleza shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF.

Sauti
2'57"
Wakimbizi wakiwa katika kituo cha afya kilichoko katika kambi yao ya Nakivale nchini Uganda
IRIN/Samuel Okiror

Mume wangu na wanangu 4 waliuawa napata faraja kwa kuwasaidia wanawake wengine:Sabuni Chikunda

Tukiwa bado na siku 16 za harakati za kupinga uakatili wa kijinsia dhidi ya wanawake, leo tunamulika mwanaharakati wa haki za binadamu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC , Francoise Sabuni Chikunda ambaye amepitia madhila yasiyoelezeka, ikiwemo kubakwa na hata familia yake kuuawa, lakini yote hayo hayakumkatisha tamaa bali yamempa ujasiri wa kuwa nuru ya wanawake wakimbizi wenzake katika makazi ya wakimbizi ya Nakivale nchini Uganda.

Sauti
2'30"