Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

28 Aprili 2019. katika eneo la Mahate Pemba -maporomoko ya udongo ymeathiri eneo hilo baada ya kimbunga Kenneth kuikumba Msumbiji. Watu wengi bado wako katika eneo hilo na baadhi ya nyumba zinaonekana ziko karibu sana na bonde lililosababishwa na maporomo
OCHA/Saviano Abreu

UN yatoa dola milioni 13 kwa waathirika wa Kenneth Msumbiji, watu 38 wapoteza maisha

Fedha za msaada zilizotolewa na Umoja wa Mataifa zitasaidia kuhakikisha chakula , malazi, huduma za afya na maji safi vinapatikana kwa waathirika wa kimbunga Kenneth nchini Msumbiji. Nchi hiyo ina watu 18,000 waliotawanywa na kimbunga Kenneth ambao hivi sasa wanapata hifadhi kwenye makazi ya muda. Watu38 wamefariki dunia kufuatia kimbunga hicho kufikia sasa.