Imani imetoweka duniani, ushirikiano wa kimataifa nao mashakani- Kenya
Ongezeko la uelewa wa wananchi kuhusu rasilimali zilizopo na huduma wanazopata kutoka kwenye serikali zao ni moja ya mambo yaliyotajwa na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kuwa yanasababisha wananchi kukosa imani na taasisi zao zinazowaongoza.