Diplomasia ndio muarobaini wa kuondokana na nyuklia rasi ya Korea- Pompeo
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na kikao cha ngazi ya mawaziri kujadili juhudi za kuondoa silaha za nyuklia zinazomilikiwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea, DPRK.