Fursa ya utoaji mimba salama yahitajika kuokoa wanawake 47,000 kila mwaka:UN
Nchi zote duniani zinapaswa kuchukua hatua sasa kutoharamisha utoaji miamba na kuhakikisha wanawake na wasichana wana haki ya kufanya maamuzi kuhusu hali ya ujauzito , wamesema wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa .