UN, AU na Sudan wakubaliana kuhusu mustakhbali wa UNAMID Darfur
Umoja wa Mataifa, UN, Muungano wa Afrika, AU pamoja na serikali ya Sudan wamekubaliana kwa pamoja kuendelea kutekeleza makubaliano ya pamoja ya kuwezesha ujumbe wa pamoja wa wa UN na AU wa kulinda amani Darfur, UNAMID kuendelea kutekeleza majukumu yake wakati huu ambapo unajiandaa kuhitimisha shughuli zake.