Vijana wanahitaji mazingira salama kazini :ILO
Wafanyakazi vijana kote duniani ndio walio katika hatari zaidi ya kujeruhuwa kazini kutokana na kemikali au madawa ya aina nyingine kwa sababu ya maendeleo yao ya kimwili na kiakili.
Wafanyakazi vijana kote duniani ndio walio katika hatari zaidi ya kujeruhuwa kazini kutokana na kemikali au madawa ya aina nyingine kwa sababu ya maendeleo yao ya kimwili na kiakili.
Wanafunzi mbalimbali kutoka nchi tofauti duniani wameshirika katika mdahalo kupitia video kama sehemu ya kuwaenzi wahanga wa biashara ya utumwa hususan ile ya kuvuka bahari ya Atlantiki.
Baada ya mashauriano na mazungumzo kwa wiki mbili, hatimaye mkutano wa 17 wa jukwaa la kudumu la watu wa asili la Umoja wa Mataifa unatamatisha shughuli zake jijini New York, Marekani.
Matumizi ya vitamini D mwilini hayana uhusiano wowote na kupunguza hatari ya binadamu kupata ugonjwa wa saratani ya mapafu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha hatua ya leo ya mkutano kati ya viongozi wa Korea Kaskazini na Korea Kusini akisema ni ya kihistoria.
Mapigano mapya yameripotiwa kwenye majimbo ya Unity, Jonglei na Equatoria ya Kati nchini Sudan Kusini na kusababisha maelfu ya raia kukimbia makazi yao huku vitendo vya ukatili wa kingono vikiripotiwa.
Umoja wa Mataifa umeisihi Ugiriki iboreshe mazingira na kasi ya mapokezi ya wasaka hifadhi kwenye mkoa wa Evros ambako wakimbizi wanazidi kumiminika wakipitia mpaka wa nchi hiyo na Uturuki.
Juhudi za mashirika ya umoja wa Mataifa za kunusuru maisha ya maelfu ya Warohingya waliokimbilia Bangladesh dhidi ya msimu wa pepo kali na mvua za monsoon zinazotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao , zitagonga mwamba endapo hakutapatika ufadhili mpya haraka.
Hatua ya kutoa mafunzo ya teknolojia ya habari na mawasiliano au TEKNOHAMA kwa wakimbizi kupitia shule ya ReDi nchini Ujerumani, imefufua matumaini ya mustakhbali wao waliokuwa wameukatia tamaa.
Hali ya Mashariki ya Kati ni tete, na inahitaji mshikamano wa pamoja kuhakikishasuluhu inapatikana na amani ya kudumu inadumishwa ili kuepusha zahma kwa dunia nzima , sasa na hata baadaye.