Kamati kuhusu utesaji kurejea Rwanda-UN
Kamati ndogo ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia utesaji-SPT-imeamua kurejea Rwanda baada ya kusimamisha uchugunzi huo, Oktoba 2017, ingawa tarehe ya kurejea huko haijatangazwa.Kamati hiyo pia imesema itazuru Uruguay, Belize na Ureno.