Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Rahaf Ali Bedaish, msichana mwenye umri wa miaka 8 anabeba ndugu yake Ahmed, mwenye umri wa miaka 2 kambini Dharawan.  Wamepoteza makazi yao huko Taizz tangu mizozo ianze Yemen.
UNHCR/Mohammed Hamoud

Watoto zaidi watumikishwa jeshini Yemen

Kadri siku zinavyosonga hali ya kibinadamu nchini humo inazidi kuwa tete huku mapigano yakiendelea raia wakigharimika zaidi. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limejulishwa hii leo huku  likipatiwa mambo matatu ya kipaumbele ili kushughulikia janga hilo linaloelezwa kuwa ni kubwa zaidi la kibinadamu duniani.

Sauti
1'55"