Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi yataathiri uzalishaji wa mazao kusini mwa Afrika

Wajasiriamali Cape Town nchini Afrika Kusini
John Hogg/World Bank
Wajasiriamali Cape Town nchini Afrika Kusini

Mabadiliko ya tabianchi yataathiri uzalishaji wa mazao kusini mwa Afrika

Tabianchi na mazingira

Ripoti kutoka shirika la chakula na kilimo duniani FAO, imesema ongezeko la joto na ukosefu wa nvua kusini mwa bara la Afrika vitaathiri  sana sekta ya kilimo mwaka huu, na kufanya  usalishajji wa mazao kupungua kwa kiasi kikubwa.