Mabadiliko ya tabianchi yataathiri uzalishaji wa mazao kusini mwa Afrika
Tabianchi na mazingira
Ripoti kutoka shirika la chakula na kilimo duniani FAO, imesema ongezeko la joto na ukosefu wa nvua kusini mwa bara la Afrika vitaathiri sana sekta ya kilimo mwaka huu, na kufanya usalishajji wa mazao kupungua kwa kiasi kikubwa.