Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Habari Mpya

Lydie Mpambara (kushoto) wa Idara ya Baraza Kuu na mikutano ya Umoja wa Mataifa akihojiwa na Anold Kayanda wa UN News Kiswahili
UN News/Assumpta Massoi

Redio bado ni chombo chenye nguvu-Antonio Guterres

Jumatano hii, kama ilivyo ada kila mwaka Februari 13, dunia inaadhimisha siku ya redio duniani ujumbe ukiwa majadiliano, uvumilivu na amani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake kwa ulimwengu kuhusu siku hii amesema redio ni chombo chenye nguvu. 

Sauti
1'21"
kamishina mkuu UNHCR Filipo Grandi
Arthur Max/FM. Ministério das Relações Exteriores

UNHCR yaomba radhi kwa Tanzania kutokana na sakata la nguo za msaada kwa wakimbizi zilizofanana na sare za kijeshi.

Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Filipo Grandi akiwa ziarani nchini Tanzania  amesema Tanzania kwa muda mrefu imekuwa ni karimu hususan kwa wakimbizi ambao wanakimbia machafuko na rais wake John Magufuli amerejelea kuwa ukarimu huo hautafika mwisho.

 

Sauti
2'17"