Wahisani fungueni zaidi mikoba yenu mnusuru Ebola DRC - Dkt. Tedros
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la afya ulimwenguni, WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametaka ufadhili zaidi wa harakati za kutokomeza mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.