Baraza la Usalama la UN lazungumzia kutotakiwa kwa Haysom Somalia
Baada ya Nicholas Haysom, mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia kutotakiwa tena nchini humo Baraza la Usalama la umoja huo nalo limepaza sauti.
Baada ya Nicholas Haysom, mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia kutotakiwa tena nchini humo Baraza la Usalama la umoja huo nalo limepaza sauti.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameelezea masikitiko yake kufuatia hatua ya serikali ya Somalia ya kumtangaza kutotakiwa na hivyo kutakiwa kuondoka nchini humo, mwakilishi wake maalum Nicholas Haysom.
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Nicholas Haysom, leo amehutubia Baraza la Usalama la Umoja huo jijini New York, Marekani akitoa tathmini ya hali ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi.
Nchini Somalia licha ya mashambulizi yanayoripotiwa mara kwa mara dhidi ya miundombinu ya kijamii zikiwemo hoteli, wananchi wameitikia wito wa Umoja wa Mataifa wa kutaka mashambulio ya aina hiyo yasiwazuie azma yao ya kujenga taifa lao kwa maendeleo yao na taifa lao.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali shambulio dhidi ya jengo la umoja huo kwenye mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Heri ya mwaka mpya wa 2019 mfuatiliaji wa habari za Umoja wa Mataifa wakati huu ambapo chombo hicho kimeeleza kuwa takribani watoto 395, 072 watazaliwa siku hii ya kwanza yam waka.
Kuelekea mwaka mpya wa 2019, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia salamu zake za mwaka mpya akifanya tathmini ya mwaka 2018 na matarajio yake kwa mwaka mpya.
Harakati za ujenzi wa Somalia zikiendelea, wananchi wakiwemo wanawake wanachangia katika ukuaji wa uchumi wa nchi hiyo kwa kufanya biashara na kulipa kodi badala ya kusubiri misaada.
Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Nicholas Haysom amelaani mashambulio mawili ya leo kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu ambayo yamesababisha vifo vya watu wapatao 20 na wengine wamejeruhiwa.
Nchini Somalia, harakati za kuhakikisha wananchi wanashiriki kwenye shughuli za kiuchumi na kijamii zinaendelea kuzaa matunda kwa wananchi ambapo ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini humo, UNSOM inadhihirisha juhudi hizo kupitia mfululizo wa video zinazonesha wananchi wakishiriki harakati mbalimbali.