Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Somalia

Ismail Isack Amin, mkulima mwenye umri wa miaka 66 ambaye anasema amekuwa akijinufaisha na ardhi  yenye rutuba nchini mwake Somalia tangu akiwa na umri wa miaka
UNSOM video screen capture

Ardhi imesalia kuwa mkombozi wangu- Mkulima Somalia

Nchini Somalia, harakati za kuhakikisha wananchi wanashiriki kwenye shughuli za kiuchumi na kijamii zinaendelea kuzaa matunda kwa wananchi ambapo ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini  humo, UNSOM inadhihirisha juhudi hizo kupitia mfululizo wa video zinazonesha wananchi wakishiriki harakati mbalimbali.