Ingawa nafanya kazi kwenye mazingira magumu, sihisi kwa kuwa hii ndoto yangu ya utotoni- Thomas Nyambane
Leo ni siku ya kimataifa ya wasaidizi wa kibinadamu duniani na miongoni mwao ni Thomas Nyambane, Afisa usaidizi wa kibinadamu katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya binadamu na ile ya dharura, UNOCHA nchini Somalia.