Baa la njaa bado tishio Somalia huku Kamati ya Vikwazo ikifumbia macho masuala ya jinsia
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo limejulishwa kuwa hali ya ukame na ukali wake nchini Somalia si ya kawaida huku mahitaji ya kibinadamu yakiendelea kuongezeka kila uchao.