Guterres anena na vijana walinda amani na kupongeza mchango wao.
Katika kuadhimisha siku ya walinda amani hii leo Katibu Mkuu Antonio Guterres amezungumza na vijana katika opefresheni za ulinzi wa amani upande wa polisi, jeshi na shughuli za kiraia na kupongeza mchango wao katika amani na usalama.