Zaidi ya watu milioni 1 walifurushwa makwao DRC mwaka 2018
Zaidi ya watu milioni moja wamefurushwa makwao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kwa mwaka 2018 pekee kufuatia mzozo unaondelea nchini humo. Miongoni mwao ni Valentin Muhindo ambaye simulizi yake inaletwa kwako na Grace Kaneiya.