Nchi za Bangladesh, Ethiopia, DR Congo na Nigeria ni maskani ya ndoa nyingi za utotoni: UNICEF
Zaidi ya wanawake na wasichana nusu bilioni walio hai hii leo waliolewa wakati wa utoto hata hivyo mzigo huu haubebwi kwa usawa, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na shirika la umoja wa Mataifa kuhudumia watoto UNICEF.