Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

WHO imebaini zebaki kama moja ya kemikali 10 zinazoweza kuhatarish afya
WHO

Gabon, Jamaica na Sri Lanka zaungana kukabili vipodozi hatarishi kwa Ngozi

  • Gabon, Jamaica na Sri Lanka wameunganisha juhudi zao kupunguza madhara ya kiafya na mazingira yasababishwayo na sekta ya vipodozi vya kuchubua Ngozi.
  • Mradi wa dola milioni 14  utasaidia mpango wa kutokomeza matumizi ya zebaki kwenye bidhaa za vipodozi na kupazia sauti urembo wa Ngozi za rangi zote.
  • Vipodozi vingi vya kuchubua Ngozi kuwa nyeupe vina madini ya zebaki, na kutishia afya ya binadamu na mazingira