Wanaowafanyia ukatili watoto ni muhimu waadhibiwe kwa uwazi-Morogoro
Wadau wa haki za watoto wanaopambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto mkoani Morogoro Tanzania kwa kushirikiana na serikali na wadau, wamefanya mkutano kujadili namna ya kukomesha matendo hayo katika jamii.