Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tumenufaika sana na mafunzo ya lishe endelevu-Morogoro

Tumenufaika sana na mafunzo ya lishe endelevu-Morogoro

Pakua

Wanawake 40 na wanaume 21 wamenufaika na mafunzo kuhusu lishe endelevu, mafunzo ambayo yamefanyika katika eneo la Mvomero, Turiani Morogoro Tanzania kwa usimamizi wa shirika la Save the Children. John Kabambala wa redio washirika Kids Time FM amewahoji baadhi yao wakieleza mafunzo yalivyowasaidia na kuwa watayatumia kwenda kuelimisha wengine katika maeneo yao. 

Audio Credit
Loise Wairimu\John Kabambala
Audio Duration
3'43"
Photo Credit
World Bank/Maria Fleischmann