Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania tumeshinda tuzo na utalii umerejea– TTB

Tanzania tumeshinda tuzo na utalii umerejea– TTB

Pakua

Wakati janga la ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19 likiendelea kusababisha zahma kwingineko duniani na hata kukwamisha shughuli za kiuchumi na kijamii, nchini Tanzania hali ni tofauti, utalii umerejea na tuzo juu ya kimataifa, kulikoni?  Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC jijini Dar es salaam, Tanzania amemhoji Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania, TTB, Devotha Mdachi.

 

Audio Duration
6'1"
Photo Credit
World Bank/Curt Carnemark