Tanzania tumeshinda tuzo na utalii umerejea– TTB
Pakua
Wakati janga la ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19 likiendelea kusababisha zahma kwingineko duniani na hata kukwamisha shughuli za kiuchumi na kijamii, nchini Tanzania hali ni tofauti, utalii umerejea na tuzo juu ya kimataifa, kulikoni? Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC jijini Dar es salaam, Tanzania amemhoji Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania, TTB, Devotha Mdachi.
Audio Duration
6'1"