Pamoja na wanawake na watoto wa Tanzania, pia tunawasaidia wakimbizi-WLAC
Umoja wa Mataifa kwa ushirikiano na asasi mbalimbali za kiaraia, pamoja na serikali wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza ahadi ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030 kupitia malengo 17 yaani SDGs.