Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ajira kwa vijana ndio mustakabali wa taifa

Ajira kwa vijana ndio mustakabali wa taifa

Pakua

Ukosefu  wa ajira kwa vijana hususan kusini mwa jangwa la Sahara ni  kizingiti kikubwa kwa maendeleo

ya mataifa mengi barani Afrika kwasababu kundi hilo ndiyo nguvu kazi ya kila taifa.

Umoja wa Mataifa kupitia lengo nambari 8 la maendeleo endelevu SDGs, linalosema “ajira kwa wote na ukuaji wa uchumi”

unaendelea kuhimiza serikali na asasi za kiraia kuwawezesha vijana kujikwamua na umaskini kupitia miradi mbalimbali.

Serikali ya Uganda inalitekeleza hilo kupitia  mikakakti mbalimbali ya kuwasaidia vijana ikiwemo kufadhili miradi yao ya maendeleo katika uakanda wa ziwa Albert.

Mwandishi  wetu wa maziwa makuu John Kibego ametembelea eneo hilo na kutandalia makala hii.

Audio Duration
3'41"
Photo Credit
Picha: UNHCR/M. Sibiloni