Mradi wa majiko ya mkaa unaokoa watu pamoja na msitu wa Virunga
Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo unatekeleza mradi wa kuwasaidia waathirika wa ukatili wa kijinsia na kingono (SEA). Mamia kwa maelfu ya wanawake nchini DRC hivi sasa wanafaidika na miradi mbalimbali iliyoanzishwa na Mpango wa Umoja wa Mataifa, MONUSCO.