UNESCO imesema kimbunga Idai kilitoa picha halisi ya hali ya watu wanoishi na ulemavu Zimbabwe
Pakua
Wakati kimbunga Idai kilipiga nchi mbali mbali ikiwemo Zimbabwe kuna baadhi ya watu katika jamii hususan wanaoishi na ulemavu walikuwa hatarini na ilikuwa ni vigumu kwao kufikiwa na msaada, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO lililoandaa video mahsusi kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu suala hilo.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Sauti
2'50"