UNICEF yasema msimu wa baridi waleta madhila zaidi kwa waliokimbia mapigano Idlib, Syria 15 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Wakati mapigano yakiendela na watu wakiendelea kufurushwa Kaskazini magharibi mwa Syria, mahitaji ya watoto na familia kwa ujumla yanaongezeka kila uchao kwa mujibu wa shirika la watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF. Audio Credit UN News/Jason Nyakundi Audio Duration 1'29" Photo Credit @WFP Syria UNICEF Idlib Syria Msimu wa baridi