UNESCO yasema kutambua taaluma za wakimbizi kutawasaidia kuanza upya maisha katika nchi zinazowahifadhi
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCO kwa kushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wadau wengine wameendesha tathimini ya kwanza kabisa ya usaili wa taaluma kwa wakimbizi kwenye makazi ya wakimbizi ya Maheba nchini Zambia.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'48"