WFP yasema mabadiliko ya tabianchi yanaleta changamoto kubwa kwa wanawake wavuvi Ecuador:WFP 14 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesema mabadiliko ya tabianchi ni changamoto kubwa nchini Ecuador hasa kwa wanawake wanaotegemea na kufanya kazi ya uvuvi. Audio Credit UN News/John Kibego Audio Duration 5'39" Photo Credit © FAO-GEF Ecuador Ecuador Mabadiliko ya tabianchi wanawake wavuvi WFP