UNFPA yaripoti hitaji la hatua za haraka kuchukuliwe kuhakikisha afya na usalama wa wanawake Darfur
Pakua
Hali ya machafuko inayoendelea kwenye jimbo la Darfur Magharibi nchini Sudan imewaacha maelfu ya wanawake bila huduma za kutosha za afya ya uzazi na ulinzi na hivyo kutishia Maisha yao, afya na ulinzi wao imeonya ripoti iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani UNFPA.
Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
3'