OCHA yazitaka pande zinazohasimiana Sudan Kulinda raia na kukomesha mapigano mara moja
Takriban miezi tisa ya vita imeifanya nchi ya Sudan kutumbukia katika hali duni ambayo inazidi kuwa mbaya siku hadi siku, wakati mzozo unapoenea, mateso ya wanadamu yanazidi kuongezeka, ufikishaji wa misaada ya kibinadamu nao unapungua, na matumaini yanapungua, lakini hali hii haiwezi kuendelea.