Watu milioni 6.3 nchini Ukraine wanaendelea kuwa wakimbizi: UNHCR
Takriban miaka miwili baada ya uvamizi kwa Urusi nchini Ukraine, wakimbizi wapatao milioni 6.3 kutoka Ukraine wamesalia kuwa wakimbizi baada ya kufurushwa katika makazi yao, wengi wao ambao ni milioni 5.9 wakiwa barani Ulaya limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.