Wataalamu wa UN walaani mauaji na kuwanyamazisha waandishi wa habari huko Gaza
Wataalamu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameeleza kusitikishwa na kulaani vitendo vya waandishi wa habari kuuawa, kushambuliwa, kujeruhiwa na kuwekwa vizuizini huko katika eneo la palestina linalokaliwa kwa mabavu na kutoa wito kwa pande zote kwenye mzozo kuhakikisha wanalinda waandishi wa habari.