Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mhudumu wa afya katika kambi moja kusini mwa Malawi, anazungumza na watu waliokimbia makazi yao kuhusu hatua za kuzuia maambukizi ya kipindupindu.
© UNICEF/Thoko Chikondi

WHO: Nchi 10 barani Afrika zina wagonjwa wa kipindupindu

Idadi ya wagonjwa wa kipindipindu hususan Mashariki na kusini mwa Afrika imeongezeka mara mbili mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo jumla ya wagonjwa 26,000 na vifo 7000 vimeripotiwa katika wiki nne za mwanzo wa mwaka huu kutoka nchi 10 zikiongozwa na Zambia na Zimbabwe.

Mtoto mvulana akipokea chanjo ya kipindupindu nchini Haiti. (Maktaba)
© PAHO-WHO/David Spitz

Habari kwa ufupi: Kipindupindu; Miradi ya afya; Ukeketaji

Idadi ya wagonjwa wa kipindipindu hususan Mashariki na kusini mwa Afrika imeongezeka mara mbili mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo jumla ya wagonjwa 26,000 na vifo 7000 vimeripotiwa katika wiki nne za mwanzo wa mwaka huu kutoka nchi 10 zikiongozwA na Zambia na Zimbabwe.

Baraza la Usalama la UN lilipokutana leo 5 Februari 2024 kujadili tishio la amani na usalama Mashariki ya Kati
UN /Evan Schneider

Baraza la Usalama lakutana kujadili mashambulizi ya Marekani huko Syria na Iraq

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Jumatatu alasiri limekuwa na kikao cha dharura kufuatia ombi la Urusi, wakati huu ambao vita huko Gaza inaendelea kuchochea mivutano huko Mashariki ya Kati, hasa uwezekano wa kuathiri vibaya amani na usalama kwenye ukanda huo. Mkuu wa Idara ya UN ya Masuala ya Kisiasa, ameliomba Baraza lizuie kushamiri zaidi kwa uhasama na mivutano  kwenye ukanda mzima