Haiti: Haki za binadamu zinaendelea kuzorota ghasia za magenge zinavyosambaa
Hali ambayo tayari ni mbaya ya haki za binadamu nchini Haiti imezorota zaidi huku kukiwa na ongezeko la ghasia za magenge, ameonya leo Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Volker Türk.