Tuaminiane na tushikamane kwa dhati bila ajenda ya siri- Rais Ndayishimiye
Kuaminiana na mshikamano kunapaswa kuwa msingi ambamo kwayo ushirikiano wa kimataifa usio na ukosefu wa usawa na mizozo unastawi, amesema Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye akihutubia mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani hii leo.