Lazima tumakinike zaidi asema Guterres katika siku ya kuzuia machafuko ya itikadi kali
Wakati makundi yenye itikadi kali yakipanua wigo wao, jumuiya ya kimataifa haiwezi kuacha tahadhari yake dhidi ya ugaidi, amesema leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres